Tunaowahudumia

Tume inawahudumia Walimu katika makundi yafuatayo : -

  • Walimu walioajiriwa kwenye Utumishi wa Umma (Shule za Msingi na Sekondari)
  • Walimu walioajiriwa kwa mkataba ambao mafao yao hulipwa na Wizara ya Fedha na Mipango (Hazina)
  • Walimu waliohitimisha utumishi wao ,Walimu waliobadilisha kada na kujiunga na Waajiri wengine kwa kufuata taratibu za kiutumishi  na Walimu waliofariki kabla tarehe 1 Julai, 2004 ambao malipo yao hulipwa na Wizara ya Fedha na Mipango (Hazina)