Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu, Mwl. Paulina Nkwama akitoa neno la utangulizi wakati wa ufunguzi wa awamu ya tano ya mafunzo kwa watumishi wa Tume yaliyowahusisha Maafisa na Watumishi wa Kada Saidizi tarehe 26 Mei, 2025 mkoani Tabora.
Katibu wa Tume ya Utumish...