• English
  • Kiswahili
  • Maoni
  • eMrejesho
  • Maswali na Majibu
  • Baruapepe
  • TSCMIS
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais

TUME YA UTUMISHI WA WALIMU (TSC)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili yetu
    • Muundo
    • Tunaowahudumia
    • Majukumu
  • Utawala
    • Wajumbe wa Tume
    • Menejimenti
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Ajira, Maadili na Maendeleo ya Walimu
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Mawasiliano ya Serikali
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ununuzi na Ugavi
      • Mipango, Ufuatiliaji na Tathminii
      • Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Takwimu
    • Ofisi za Wilaya
  • Huduma
    • Ajira na Usajili
    • Uwiano wa usambazaji wa walimu
    • Kuthibitisha kazini Walimu
    • Kupandisha cheo Walimu
    • Kubadilisha cheo walimu waliojiendeleza kielimu
    • Kusimamia Mpango wa mafunzo kwa Walimu
    • Vibali vya hitimisho la kazi kwa Walimu
    • Kuajiriwa upya kwenye kazi ya Ualimu
    • Mafao na Mirathi ya hitimisho la kazi ya walimu
  • Machapisho
    • Sheria na Kanuni
    • Miongozo
    • Mipango Mkakati
    • Tafiti
    • Fomu
    • Taarifa
    • Sera
    • Majarida
    • Takwimu
  • Kituo cha Habari
    • Picha mnato
    • Picha Jongefu
    • Hotuba
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Vipeperushi
  • Wasiliana Nasi
  • Maoni
  • eMrejesho
  • Maswali na Majibu
  • Baruapepe
  • TSCMIS
Mwenyekiti wa Tume
Prof. Willy Lazaro Komba (Juni, 2020 - Juni, 2023)

Mwenyekiti wa Tume

Wasifu

Katibu
Mwl. Paulina Mbena Nkwama, ndc

Katibu

Wasifu

Slider Photo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) akipokea taarifa ya makabidhiano na vitendea kazi kutoka kwa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. Angellah Kairuki ambaye kwa sasa ni Waziri Maliasili na Utalii, mara baada ya kuwasili Ofisi za Wizara zilipo Mji wa Kiserikali Mtumba jijini Dodoma na kupokelewa na Viongozi, tarehe 04 Septemba, 2023.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya...

Slider Photo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) akikabidhi tuzo kwa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. Angellah Kairuki ambaye sasa ni Waziri Maliasili na Utalii kwa kutambua mchango wa utumishi wake katika Ofisi ya Rais TAMISEMI, tarehe 04 Septemba, 2023. Makabidhiano hayo yalifanyika katika Ofisi za Wizara zilipo Mji wa Kiserikali, Mtumba jijini Dodoma.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya...

Slider Photo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) akiongea na watumimishi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI (hawapo pichani) mara baada ya kuwasili Ofisi za Wizara zilipo Mji wa Kiserikali Mtumba jijini Dodoma tarehe 04 Septemba, 2023.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya...

Slider Photo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) akisalimiana na Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Mwl. Paulina Nkwama mara baada ya kuwasili Ofisi za Wizara zilipo Mji wa Kiserikali Mtumba jijini Dodoma tarehe 04 Septemba, 2023.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya...

Slider Photo

Naibu Katibu Mkuu (Elimu) kutoka Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Dkt. Charles Msonde akuzungumza na Wajumbe wa Menenjineti ya Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) (hawapo pichani) wakati TSC ikiwasilisha Uchambuzi wa Taarifa kuhusu Mtiririko wa Upandaji Vyeo kwa Walimu katika Kundi Rika Septemba 05, 2023 katika Ukumbi wa TSC Makao Makuu Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu (Elimu)...

Slider Photo

Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Mwl. Paulina Nkwama akitoa ufafanuzi wa Uchambuzi wa Taarifa kuhusu Mtiririko wa Upandaji Vyeo kwa Walimu katika Kundi Rika kwa Naibu Katibu Mkuu (Elimu) kutoka Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Dkt. Charles Msonde (hayupo pichani) Septemba 05, 2023 katika Ukumbi wa TSC Makao Makuu Dodoma.

Katibu wa Tume ya Utumish...

Slider Photo

Kikao kati ya Naibu Katibu Mkuu (Elimu) kutoka Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Dkt. Charles Msonde na Menenjineti ya Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) kikiwa kinaendelea.

Kikao kati ya Naibu Katib...

Slider Photo

Kikao kati ya Naibu Katibu Mkuu (Elimu) kutoka Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Dkt. Charles Msonde na Menenjineti ya Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) kikiwa kinaendelea.

Kikao kati ya Naibu Katib...

Previous Next
Habari Mpya
WAZIRI MCHENGERWA AWAONYA WATENDAJI WASIOWAJIBIKA,...
06 Sep, 2023

WAZIRI MCHENGERWA AWAONYA WATENDAJI WASIOWAJIBIKA, AAHIDI KUIREJESHA TAMISEMI KW...

Soma zaidi
WAZIRI KAIRUKI AITAKA TSC KUFANYIA KAZI HOJA ZILIZ...
14 Aug, 2023

WAZIRI KAIRUKI AITAKA TSC KUFANYIA KAZI HOJA ZILIZOWASILISHWA KWENYE MAONESHO YA...

Soma zaidi
WAZIRI KAIRUKI AONGOZA UJUMBE WA WATAALAMU WA ELIM...
06 Aug, 2023

WAZIRI KAIRUKI AONGOZA UJUMBE WA WATAALAMU WA ELIMU KUFANYA ZIARA NCHINI SINGAPO...

Soma zaidi
Matangazo
MFUMO WA TSCMIS SASA UPO TAYARI KWA MATUMIZI
16 Aug, 2023
JARIDA LA TSC TOLEO LA 30
06 Aug, 2023
MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
26 Jun, 2023
TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA NA ELIMU
14 Apr, 2023
DAWATI LA KUHUDUMIA WASTAAFU
08 Apr, 2022
Matukio
26
Apr 22
Kuelekea Maadhimisho ya siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
26
Apr 22
Maadhimisho ya siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
07
Apr 22
Maadhimisho ya kumbukizi ya Hayati Sheikh Amani Karume
Takwimu
Walimu Waliothibitishwa Kazini 6,767
Walimu Waliosajiliwa 6,963
Walimu Walioajiriwa 6,963
Idadi ya Walimu wa shule za Sekondari 84,700
Walimu Waliobadilishiwa kazi/cheo 11,363
DashBoard
TSCMIS
Mfumo wa Ajira za Walimu
Ajira Portal
Mfumo wa Taarifa za Shule
eMikutano
Nifanyaje?
Kuomba kazi ya Ualimu
13 Apr, 2022
Najuaje kama nafasi za kazi ya ualimu zimetoka
08 Apr, 2022
Wasiliana Nasi

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais

TUME YA UTUMISHI WA WALIMU (TSC)

S. L. P 353, Mtaa wa Mtendeni, DODOMA.

secretary@tsc.go.tz

Simu: +255 26 2322402

Viunganishi vya Haraka
Cabinet
Wajumbe wa Tume
Uongozi
TSC Wilaya
Sheria na Kanuni
Jarida la Mwezi
Kalenda ya Matukio ya Tume
Tovuti Mashuhuri
Ofisi ya Rais - Ikulu
OR - TAMISEMI
Wizara ya Elimu
NACTVET
OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma
PSSSF
Wizara ya Fedha na Mipango
Kaunta ya Wageni
Mtandaoni:
0
Leo:
0
Jana:
0
Wiki Hii:
0
Mwezi Huu:
0
Wageni Wote:
0

  • Kanusho
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Ramani ya Tovuti
  • Hakimiliki
  • Wasiliana Nasi
Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao Huendeshwa na Tume ya Utumishi wa Walimu
© 2023 TSC, Haki zote zimehifadhiwa.