Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu, Prof. Masoud Hadi Muruke akiongoza kikao cha Tume hivi karibuni.
Mwenyekiti wa Tume ya Utu...
Mkutano wa Tume ya Utumishi wa Walimu uliofanyika hivi karibuni ukiwa unaendelea
Mkutano wa Tume ya Utumis...
Katibu wa Tume wa Yautumishi wa Walimu, Mwl. Paulina Nkwama akiwasilisha taarifa wakati wa Mkutano wa Tume uliofanyika hivi karibuni
Katibu wa Tume wa Yautumi...
Huduma zikiendelea kutolewa katika banda la TSC wakati wa maonesho ya Nanenane kitaifa jijini Dodoma.
Huduma zikiendelea kutole...
Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Mwl. Paulina Nkwama (kulia) akitoa huduma kwa wateja waliofika kwenye bada la TSC katika Maonesho ya Wakulima (Nane Nane) kitaifa jijini Dodoma.
Katibu wa Tume ya Utumish...
Kikao cha Kamati ya Ajira na Maendeleo ya Walimu ya Tume ya Utumishi wa Walimu kikiongozwa na Kamishna wa Tume, Bw. Aggrey Mleli tarehe 12 Agosti, 2025 kikiwa kinaendelea katika ofisi za TSC Makao Makuu jijini Dodoma.
Kikao cha Kamati ya Ajira...
Washiriki wa kiko cha Kamati ya Ajira na Maendeleo ya Walimu wakiwa kwenye kikao hicho tarehe 12 Agosti, 2025 katika ofisi za Tume jijini Dodoma.
Washiriki wa kiko cha Kam...
Menejimenti ya TSC ikikagua hatua za ujenzi wa Ofisi za Makao Makuu ya Tume, Agosti 14, 2025.
Menejimenti ya TSC ikikag...
Sehemu ya jengo jipya la Makao Makuu ya Tume linaloendelea kujengwa na Mkandarasi SUMA JKT katika eneo la Njedengwa, Dodoma.