Walimu Waliosajiliwa 37,473
Tume ya Utumishi wa Walimu inasajili walimu wanaofundisha Shule za Msingi na Sekondari mara baada ya kuajiriwa katika Utumishi wa Umma. Katika kipindi cha kuanzia mwaka 2020/2021 hadi 2023/2024 jumla ya Walimu 37,473 walisajiliwa.