Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR – TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) (kulia) akikabidhi nyaraka mbalimbali za Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) kwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu, Prof. Maosud Hadi Muruke katika hafla ya kuapisha Makamishna wa TSC iliyofanyika Ofisi za OR – TAMISEMI zilizopo jengo la Sokoine jijini Dodoma tarehe 14 Juni, 2024.
Waziri wa Nchi Ofisi ya R...