Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Prof. Masoud Hadi Muruke akitoa hotuba ya kufungua kikao kazi cha wadau wa elimu kwa ajili ya kutoa maoni ya Rasimu ya Mwongozo wa Mafunzo ya Usimamizi wa Masuala ya Nidhamu na Rufaa kwa Walimu katika Utumishi wa Umma tarehe 15 Januari 2025 mjini Morogoro.
Mwenyekiti wa Tume ya Utu...