Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR – TAMISEMI), Mhe. Mohammed Mchengerwa (Mb) (shati ya kitenge) akikabidhi pikipiki kwa mmoja wa watumishi wa Tume ya Utumishi wa Walimu wakati wa hafla ya kukabidhi Gari Toyota Coaster Mini Bus moja (1), Pikipiki 62 pamoja na Kompyuta mpakato 159 kwa TSC Novemba 27, 2023 katika Viwanja vya Shule ya Sekondari Tambaza Jijini Dar es Salam.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya...