Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia elimu, Bw. Atupele Mwambene (katikati) akiingia ukumbini kwa ajili ya kufungua Mafunzo ya Usimamizi wa Mashauri ya Nidhamu na Rufaa za Walimu kwa Makatibu Wasaidizi wa Tume ya Utumishi wa Walimu Ngazi ya Wilaya yaliyofanyika katika Chuo cha Utumishi wa Umma mkoani Tabora tarehe 4 Machi, 2025. Pichani, upande wa kushoto ni Katibu wa TSC, Mwl. Paulina Nkwama.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi y...