Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi la Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Mwl. Paulina Nkwama akifungua kikao cha Baraza uliofanyika tarehe 12 Machi, 2026 katika ukumbi wa Mabele jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Baraza la W...
Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi la Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Mwl. Paulina Nkwama akifungua kikao cha Baraza uliofanyika tarehe 12 Machi, 2026 katika ukumbi wa Mabele jijini Dodoma
Mwenyekiti wa Baraza la W...
Katibu wa Baraza la Wafanyakazi la TSC, Bw. Nuhu Mlekwa, akitoa neno la utangulizi wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika tarehe 12 Machi, 2026 jijini Dodoma.
Katibu wa Baraza la Wafan...
Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la TSC wakifuatilia kwa makini mijadala na mada zilizowasilishwa wakati wa Mkutano wa Baraza hilo uliofanyika tarehe 12 Machi, 2026 jijini Dodoma.
Wajumbe wa Baraza la Wafa...
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la TSC wakifuatilia kwa makini mijadala na mada zilizowasilishwa wakati wa Mkutano wa Baraza hilo uliofanyika tarehe 12 Machi, 2026 jijini Dodoma.
Baadhi ya wajumbe wa Bara...
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la TSC wakifuatilia kwa makini mijadala na mada zilizowasilishwa wakati wa Mkutano wa Baraza hilo uliofanyika tarehe 12 Machi, 2026 jijini Dodoma.
Baadhi ya wajumbe wa Bara...
Watumishi wa Tume ya Utumishi wa Walimu wakiwa katika hali ya utulivu wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa katika Shule ya Msingi Kibaigwa iliyopo Wilayani Kongwa Mkoa wa Dodoma tarehe 8 Machi, 2026.
Watumishi wa Tume ya Utum...
Watumishi wa Tume ya Utumishi wa Walimu wakiwa katika maandamano katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa katika Shule ya Msingi Kibaigwa iliyopo Wilayani Kongwa Mkoa wa Dodoma tarehe 8 Machi, 2026.
Watumishi wa Tume ya Utum...
Watumishi wa Tume ya Utumishi wa Walimu wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa katika Shule ya Msingi Kibaigwa iliyopo Wilayani Kongwa Mkoa wa Dodoma tarehe 8 Machi, 2026.